News & Updates

TANZANIA MALEZI SUMMIT

News & Updates

Anjita foundation ikiwa ni mwanachama wa Tanzania ECD Network inaungana na serikaali na wadau wote kushiriki na kuwaalika katika TANZANIA MALEZI SUMMIT itakayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15 Mei, 2025-Dodoma. Hii ni fursa kubwa katika harakati za kuendelea kuwekeza huduma bora za Malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali kwa mtoto.

‘ WEWE NI MDAU MUHIMU ,USIPANGE KUKOSA’

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

We take processes apart, rethink, rebuild, and deliver them back working smarter than ever before.